Mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo Bi Anna Mghirwa(56) amabaye anaendelea kunadi sera za chama chake nchi nzima amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais na wananchi basi atamteua Zitto kabwe kuwa waziri wake mkuu.

12 Sep 2015

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top