Mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo Bi Anna Mghirwa(56) amabaye anaendelea kunadi sera za chama chake nchi nzima amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais na wananchi basi atamteua Zitto kabwe kuwa waziri wake mkuu.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.